DWIGHT DANDA KIJANA MDOGO NA MHITIMU WA CHUO KIKUU ATIA NIA UBUNGE KIBAMBA | The Dodoma Post
The Dodoma Post Siasa

DWIGHT DANDA KIJANA MDOGO NA MHITIMU WA CHUO KIKUU ATIA NIA UBUNGE KIBAMBA

Katibu mkuu wa taasisi ya Samia Four Organization na kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dwight Danda amechukuwa fomu ya kutia nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la kibamba.

Ngonise Kahise
By Ngonise Kahise
01 Jul 2025
DWIGHT DANDA KIJANA MDOGO NA MHITIMU WA CHUO KIKUU ATIA NIA UBUNGE KIBAMBA

Katibu mkuu wa taasisi ya Samia Four Organization na kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dwight Danda amechukuwa fomu ya kutia nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la kibamba.

  Akizungumza na waandishi wa habari leo July,1 2025 baada ya kuchukua fomu jijini Dar es salaam Dwight amebainisha sababu za kuwania kiti hicho ikiwa ni mapenzi mema alonayo kwa taifa na Jimbo la kibamba hivyo anatamani kuwa sehemu ya kuchochea maendeleo ya nchi na wanakibamba kwa ujumla.

  "Viongozi waliopita wamefanya vema kwa nafasi  yao lakini mimi pia kama kijana na nguvukazi ya taifa hili nina shauku kubwa ya kulitumikia taifa langu kwa maarifa na ujuzi nilionao" alisema Danda.

  Katika hatua nyingine Danda ametoa rai kwa watu wenye nia ovu kwa taifa na kuwataka kutokuchafua amani ya taifa la Tanzania.

CHIPUKIZI ACHUKUA FOMU YA UDIWANI KATA YA MWEMBESONGO.

CHIPUKIZI ACHUKUA FOMU YA UDIWANI KATA YA MWEMBESONGO.

Maiko Salali Arejesha Fomu ya Kugombea Ubunge Jimbo la Mpwapwa, Apongeza CCM kwa Ujumuishwaji wa Makundi Maalum

Maiko Salali Arejesha Fomu ya Kugombea Ubunge Jimbo la Mpwapwa, Apongeza CCM kwa Ujumuishwaji wa Makundi Maalum

Katimba aomba ridhaa Ubunge viti maalumu Kigoma

Katimba aomba ridhaa Ubunge viti maalumu Kigoma

SAGAFF AJITOSA KUMRITHI MAVUNDE DODOMA MJINI

SAGAFF AJITOSA KUMRITHI MAVUNDE DODOMA MJINI

Ubalozi wa Marekani waahidi kuimarisha uhuru wa vyombo vya habari nchini.

Ubalozi wa Marekani waahidi kuimarisha uhuru wa vyombo vya habari nchini.