

Mkuu wa kitengo cha mawasiliano shirika la Maendeleo ya Petroli na gesi TPDC Maria Mselemu amesema kufuatia utendaji kazi la shirika hilo umewafanya kuibuka kidedea kwenye maonesho ya 49 ya biashara ya kimataifa maarufu kama sabasaba.
Mkuu wa kitengo cha mawasiliano shirika la Maendeleo ya Petroli na gesi TPDC Maria Mselemu amesema kufuatia utendaji kazi la shirika hilo umewafanya kuibuka kidedea kwenye maonesho ya 49 ya biashara ya kimataifa maarufu kama sabasaba.
Akizungumza mara baada ya kupewa tuzo hiyo katika maonesho ya 49 ya biashara ya kimataifa amesema wamekuwa wakifanya vizuri kwenye maeneo tofauti na kupelekea kupata tuzo mbalimbali.
"Kwetu hii ni tuzo ya tano kwenye maonesho haya lakini sisi kwetu hii ni kawaida kwani tumekuwa tukipata tuzo kwenye maeneo taofauti ikiwemo tuzo ya mazingira",amesema Mselemu.
Akizungumzia tuzo hiyo ya mazingira amesema kufuatia matumizi ya nishati safi ya kupikia wameweza kuondoa hewa ukaa kwa tani laki moja.
"Kwa kutumia nishati safi ambayo tunaweka kwenye magari lakini pia kupikia pia kufanyakazi kwa umakini ndio kichocheo cha kutufanya kuwa kinara na hata kupatata tuzo kadhaa"ameongeza.
RAIS MWINYI ATEMBELEA BANDA LA NISHATI MAONESHO YA SABASABA
REA YAJIZATITI KUFIKISHA LENGO LA TAIFA KWENYE NISHATI SAFI YA KUPIKIA
CPA KASORE ASISITIZA UMUHIMU WA KUFUNDISHA MAFUNZO YA UFUNDI STADI KWA WATOTO ILI WAWEZE KUJITEGEMEA
TANESCO YATOA MAJIKO YA UMEME KWA WANANCHI SABASABA.
MKURUGENZI TASAC AWATAKA WANANCHI KUSOMA MASOMO YANAYOHUSU SEKTA YA BAHARI.
Maiko Salali achukua fomu ya ubunge Jimbo la Mpwapwa
SERIKALI IMEPUNGUZA TOZO KATIKA ZAO LA KAHAWA KUTOKA 17 HADI 5.
Mkoa wa Katavi umeendelea kutekeleza Mpango wa Maendeleo ya Afya ya Msingi (MMAM)
UDOM KUJA NA TEKNOLOJIA MPYA YA KUUZA VIMIMINIKA.
AMANZI NA BABU TALE USO KWA USO JIMBONI