DKT. YONAZI AONGOZA KIKAO CHA TANZANIA NATIONAL COORDINATING MECHANISM (TNCM) | The Dodoma Post
The Dodoma Post Kijamii

DKT. YONAZI AONGOZA KIKAO CHA TANZANIA NATIONAL COORDINATING MECHANISM (TNCM)

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chombo kinachosimamia utekelezaji wa Programu zinazofadhiliwa na Mfuko wa Dunia (Tanzania National Coordinating Mechanism - TNCM) Dkt. Jim Yonazi ameongoza kikao cha wajumbe wa chombo hicho kwa ajili ya kupitisha Maboresho ya Bajeti ya Utekelezaji wa Programu za Malaria, Kifua Kikuu, UKIMWI ambayo ni mzunguko wa saba (GC7) kwa mwaka 2024 hadi 2026.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
10 Jul 2025
DKT. YONAZI AONGOZA KIKAO CHA TANZANIA NATIONAL COORDINATING MECHANISM (TNCM)

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chombo kinachosimamia utekelezaji wa Programu zinazofadhiliwa na Mfuko wa Dunia (Tanzania National Coordinating Mechanism - TNCM) Dkt. Jim Yonazi ameongoza kikao cha wajumbe wa chombo hicho kwa ajili ya kupitisha Maboresho ya Bajeti ya Utekelezaji wa Programu za Malaria, Kifua Kikuu, UKIMWI ambayo ni mzunguko wa saba (GC7) kwa mwaka 2024 hadi 2026.

Kikao hicho kimefanyika tarehe 10 Julai, 2025 katika Jengo la Tume ya Ushindani Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wajumbe kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa -TAMISEMI, Wizara ya Fedha, Wizara ya Afya, Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Medical Stores Department (MSD), Local Fund Agent (LFA), Sekretarieti ya TNCM, Asasi za Kiraia (Non State Actors - NSAs), Mashirika ya Kimataifa (WHO, UNAIDS), Wadau wa Maendeleo (US Government, British High Commission pamoja na wawakilishi kutoka Mfuko wa Dunia).

DK.NDUMBARO AIPONGEZA OFISI YA MWANDISHI MKUU WA SHERIA.

DK.NDUMBARO AIPONGEZA OFISI YA MWANDISHI MKUU WA SHERIA.

DCEA YABAINI NJIA MPYA INAYOTUMIWA NA WAFANYABIASHARA WA DAWA ZA KULEVYA  KUSAFIRISHIA DAWA HIZO.

DCEA YABAINI NJIA MPYA INAYOTUMIWA NA WAFANYABIASHARA WA DAWA ZA KULEVYA KUSAFIRISHIA DAWA HIZO.

CPA KASORE ASISITIZA UMUHIMU WA KUFUNDISHA MAFUNZO YA UFUNDI STADI KWA WATOTO ILI WAWEZE KUJITEGEMEA

CPA KASORE ASISITIZA UMUHIMU WA KUFUNDISHA MAFUNZO YA UFUNDI STADI KWA WATOTO ILI WAWEZE KUJITEGEMEA

TPDC YAJIVUNIA MAFANIKIO YAPATA TUZO SABASABA.

TPDC YAJIVUNIA MAFANIKIO YAPATA TUZO SABASABA.

TANESCO YATOA MAJIKO YA UMEME KWA WANANCHI SABASABA.

TANESCO YATOA MAJIKO YA UMEME KWA WANANCHI SABASABA.