

Rapa maarufu Jay Z na familia yake wanaripotiwa kupokea vitisho vya kuuawa kutoka kwa watu mbalimbali mitandaoni, kufuatia kesi ya ubakaji inayomhusisha binti wa miaka 13, anayedaiwa kubakwa na Diddy mwaka 2000. Kesi hiyo ilifunguliwa na mwanadada aliyejulikana kwa jina bandia la 'Jane Doe' Desemba 9, 2024, akidai kuwa alifanyiwa unyanyasaji baada ya sherehe za tuzo za Video Music Awards (VMAs).
Jay Z anadai kuwa yeye na familia yake wamekuwa wakituhumiwa kuwa ni waongo na waovu, huku wengine wakitaka apelekwe gerezani kama alivyofanya Diddy na kisha auliwe. Kesi hii, hata hivyo, imeshafutwa baada ya mshitakiwa kuiondoa kwa hiari, na hivyo kuondoa tuhuma hizo kisheria.
Hata hivyo, mjadala unaendelea mitandaoni, huku baadhi ya watu wakidai kuwa haki haikutendeka. Vitisho vinavyotolewa kwa Jay Z na familia yake ni kielelezo cha madhara ya mitandao ya kijamii katika kujenga au kubomoa sifa za watu, hasa katika kesi kubwa kama hii.
PPAA yatoa elimu matumizi ya Moduli Wiki ya Utumishi wa Umma
KIHENZILE: UWAZI NA UWAJIBIKAJI NI NGUZO MUHIMU ZENYE TIJA KWA WANANCHI
KIHENZILE:WIKI YA UTUMISHI WA UMMA NI FURSA MUHIMU KWA WANANCHI
ACT WAZALENDO KUUWASHA MOTO MANZESE WAJIDHATITI KUCHUKUA MAJIMBO YOTE DAR ES SALAAM
TANESCO YAJA NA KAMPENI MAALUM YA KUHAMASISHA ULIPAJI WA MADENI KWA WATEJA.
GRAND BUNGE BONANZA KUFANYIKA JUNI 21 2025 HUKU MGENI RASMI AKITARAJIWA KUWA RAIS SAMIA.
KIHENZILE:WIKI YA UTUMISHI WA UMMA NI FURSA MUHIMU KWA WANANCHI
NISHATI YA GESI ASILIA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA NCHI.
MOI YASEMA WAGONJWA WENGI WANAOWAHUDUMIA WANA MATATIZO SUGU.
CDE SALUM ATANGAZA NIA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KAHAMA MJINI.