Prof.MTAMBO APONGEZA MAANDALIZI YA SABASABA 2025. | The Dodoma Post
The Dodoma Post Biashara

Prof.MTAMBO APONGEZA MAANDALIZI YA SABASABA 2025.

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania(TIRDO) Prof.Mkumbukwa Madundo Mtambo amepongeza maandalizi na uboreshaji uliofanywa ndani ya Maonesho hayo yanayoendelea ndani ya Uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Sabasaba).

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
04 Jul 2025
Prof.MTAMBO APONGEZA MAANDALIZI YA SABASABA 2025.

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania(TIRDO) Prof.Mkumbukwa Madundo Mtambo amepongeza maandalizi na uboreshaji uliofanywa  ndani ya Maonesho hayo yanayoendelea ndani ya Uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Sabasaba).

Prof Mtambo alitembelea mabanda  kadhaa kabla ya kufika katika banda la  Wizara ya Viwanda na Biashara ambapo TIRDO pia ni washiriki .

Katika Maonesho hayo ,Prof.Mtambo alieleza kuwa katika Maonesho haya ,TIRDO inashikiri  ikiwa na wataalam kutoka idara mbali mbali lakini zaidi ni katika kuonesha ubobevu katika Idara za Nishati ,Mazingira ,Kemia ya Viwanda na pia kutambulisha Maabara ya Chakula ambayo imepata ithibati ya kufanya upimaji wa aina mbali mbali ya vyakula .

Prof.Mtambo pia alitumia nafasi hiyo kuwapongeza watumishi wake wanaoshiriki katika maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam

MAMA JANETH MAGUFULI ATEMBELEA BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU SABASABA*

MAMA JANETH MAGUFULI ATEMBELEA BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU SABASABA*

eGA Yaonesha Namna Serikali Inavyotekeleza Mageuzi Kidigitali kwenye Maonesho ya sabasaba.

eGA Yaonesha Namna Serikali Inavyotekeleza Mageuzi Kidigitali kwenye Maonesho ya sabasaba.

RAIS MWINYI ATEMBELEA BANDA LA NISHATI MAONESHO YA SABASABA

RAIS MWINYI ATEMBELEA BANDA LA NISHATI MAONESHO YA SABASABA

BODI YA MKONGE TANZANIA YATANGAZA FURSA  KWA WATANZANIA.

BODI YA MKONGE TANZANIA YATANGAZA FURSA KWA WATANZANIA.

DCEA:SERIKALI IMEPUNGUZA KASI YA WALAIBU WA DAWA ZA KULEVYA.

DCEA:SERIKALI IMEPUNGUZA KASI YA WALAIBU WA DAWA ZA KULEVYA.