

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania(TIRDO) Prof.Mkumbukwa Madundo Mtambo amepongeza maandalizi na uboreshaji uliofanywa ndani ya Maonesho hayo yanayoendelea ndani ya Uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Sabasaba).
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania(TIRDO) Prof.Mkumbukwa Madundo Mtambo amepongeza maandalizi na uboreshaji uliofanywa ndani ya Maonesho hayo yanayoendelea ndani ya Uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Sabasaba).
Prof Mtambo alitembelea mabanda kadhaa kabla ya kufika katika banda la Wizara ya Viwanda na Biashara ambapo TIRDO pia ni washiriki .
Katika Maonesho hayo ,Prof.Mtambo alieleza kuwa katika Maonesho haya ,TIRDO inashikiri ikiwa na wataalam kutoka idara mbali mbali lakini zaidi ni katika kuonesha ubobevu katika Idara za Nishati ,Mazingira ,Kemia ya Viwanda na pia kutambulisha Maabara ya Chakula ambayo imepata ithibati ya kufanya upimaji wa aina mbali mbali ya vyakula .
Prof.Mtambo pia alitumia nafasi hiyo kuwapongeza watumishi wake wanaoshiriki katika maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam
IDADI YA WATALII WA NDANI WALIOTEMBELEA MKOA WA TABORA IMEONGEZEKA.
DK.NDUMBARO AIPONGEZA OFISI YA MWANDISHI MKUU WA SHERIA.
DKT. YONAZI AONGOZA KIKAO CHA TANZANIA NATIONAL COORDINATING MECHANISM (TNCM)
TANZANIA INA UMEME WA KUTOSHA – DKT. BITEKO
MAMA JANETH MAGUFULI ATEMBELEA BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU SABASABA*
DCEA:SERIKALI IMEPUNGUZA KASI YA WALAIBU WA DAWA ZA KULEVYA.
SHERIA ZILIZOTAFSIRIWA KWA LUGHA YA KISWAHILI KUTOKA MWEZI AGOSTI.
VITONGOJI VYOTE 64,359 VITAKUWA NA UMEME IFIKAPO 2030
BODI YA MKONGE TANZANIA YATANGAZA FURSA KWA WATANZANIA.
CPA KASORE ASISITIZA UMUHIMU WA KUFUNDISHA MAFUNZO YA UFUNDI STADI KWA WATOTO ILI WAWEZE KUJITEGEMEA