

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump alipinga mpango wa Israel wa kumshambulia Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, kwa mujibu wa maafisa wawili wa Marekani waliolieleza shirika la habari la Reuters
srael ilidaiwa kupata taarifa za alipo Khamenei na ilipanga kumlenga kwa makombora, lakini Trump alikataa kuidhinisha hilo.
Alisema ana rekodi ya kumaliza migogoro na alijivunia juhudi zake za kuleta utulivu kati ya India na Pakistan, akidai anaweza kufanya hivyo pia kati ya Iran na Israel.
KIHENZILE: UWAZI NA UWAJIBIKAJI NI NGUZO MUHIMU ZENYE TIJA KWA WANANCHI
KIHENZILE:WIKI YA UTUMISHI WA UMMA NI FURSA MUHIMU KWA WANANCHI
ACT WAZALENDO KUUWASHA MOTO MANZESE WAJIDHATITI KUCHUKUA MAJIMBO YOTE DAR ES SALAAM
TANESCO YAJA NA KAMPENI MAALUM YA KUHAMASISHA ULIPAJI WA MADENI KWA WATEJA.
CDE SALUM ATANGAZA NIA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KAHAMA MJINI.
DODOMA YAELEKEA IRINGA KWA KISHINDO MASHINDANO YA UMISSETA.
Serikali Yatangaza Kuanza Msako Kuwabaini Wanaotumikisha Watoto
GRAND BUNGE BONANZA KUFANYIKA JUNI 21 2025 HUKU MGENI RASMI AKITARAJIWA KUWA RAIS SAMIA.
MOI YASEMA WAGONJWA WENGI WANAOWAHUDUMIA WANA MATATIZO SUGU.
NISHATI YA GESI ASILIA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA NCHI.