

Wakala wa Biashara na Leseni (BRELA) imeweka kambi ya kutoa huduma ya Kliniki ya Biashara kwa wafanyabiashara wa Kariakoo.
Wakala wa Biashara na Leseni (BRELA) imeweka kambi ya kutoa huduma ya Kliniki ya Biashara kwa wafanyabiashara wa Kariakoo.
Kliniki hiyo imelenga kuwahudumia wafanyabiashara wa Kariakoo ili kuweza kuwatatulia changamoto mbalimbali za kiusajili pamoja na zile za Kitehama
Mbali na utatuzi wa changamoto hizo, pia imetumia kliniki hiyo kuwasaidia wafanyabiashara wa Kariakoo kurasimisha biashara zao kwa kuwasajili Majina ya Biashara, Kampuni, Alama ya Biashara pamoja na Leseni za Biashara
Pia ukaguzi elimishi utafanyika kwenye maduka ya wafanyabiashara ili kuwapa elimu juu ya umuhimu wa kuwa na Leseni ya Biashara Kundi A hasa kwa wale wanaofanya biashara yenye sura ya Kimataifa
PPAA yatoa elimu matumizi ya Moduli Wiki ya Utumishi wa Umma
KIHENZILE: UWAZI NA UWAJIBIKAJI NI NGUZO MUHIMU ZENYE TIJA KWA WANANCHI
KIHENZILE:WIKI YA UTUMISHI WA UMMA NI FURSA MUHIMU KWA WANANCHI
ACT WAZALENDO KUUWASHA MOTO MANZESE WAJIDHATITI KUCHUKUA MAJIMBO YOTE DAR ES SALAAM
TANESCO YAJA NA KAMPENI MAALUM YA KUHAMASISHA ULIPAJI WA MADENI KWA WATEJA.
DODOMA YAELEKEA IRINGA KWA KISHINDO MASHINDANO YA UMISSETA.
Serikali Yatangaza Kuanza Msako Kuwabaini Wanaotumikisha Watoto
GRAND BUNGE BONANZA KUFANYIKA JUNI 21 2025 HUKU MGENI RASMI AKITARAJIWA KUWA RAIS SAMIA.
MOI YASEMA WAGONJWA WENGI WANAOWAHUDUMIA WANA MATATIZO SUGU.
NISHATI YA GESI ASILIA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA NCHI.