BRELA YAWEKA KAMBI KARIAKOO KUTOA HUDUMA YA KLINIKI YA BIASHARA KWA WAFANYABIASHARA | The Dodoma Post
The Dodoma Post Biashara

BRELA YAWEKA KAMBI KARIAKOO KUTOA HUDUMA YA KLINIKI YA BIASHARA KWA WAFANYABIASHARA

Wakala wa Biashara na Leseni (BRELA) imeweka kambi ya kutoa huduma ya Kliniki ya Biashara kwa wafanyabiashara wa Kariakoo.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
28 May 2025
BRELA YAWEKA KAMBI KARIAKOO KUTOA HUDUMA YA KLINIKI YA BIASHARA KWA WAFANYABIASHARA

Wakala wa Biashara na Leseni (BRELA) imeweka kambi ya kutoa huduma ya Kliniki ya Biashara kwa wafanyabiashara wa Kariakoo.

Kliniki hiyo imelenga kuwahudumia wafanyabiashara wa Kariakoo ili kuweza kuwatatulia changamoto mbalimbali za kiusajili pamoja na zile za Kitehama

Mbali na utatuzi wa changamoto hizo, pia imetumia kliniki hiyo kuwasaidia wafanyabiashara wa Kariakoo kurasimisha biashara zao kwa kuwasajili Majina ya Biashara, Kampuni, Alama ya Biashara pamoja na Leseni za Biashara

Pia ukaguzi elimishi utafanyika kwenye maduka ya wafanyabiashara ili kuwapa elimu juu ya umuhimu wa kuwa na Leseni ya Biashara Kundi A hasa kwa wale wanaofanya biashara yenye sura ya Kimataifa

PPAA yatoa elimu matumizi ya Moduli Wiki ya Utumishi wa Umma

PPAA yatoa elimu matumizi ya Moduli Wiki ya Utumishi wa Umma

Sekta ya Madini Imechangia Katika Fedha Za Kigeni Hadi Kufikia Dola Bilioni 3.55

Sekta ya Madini Imechangia Katika Fedha Za Kigeni Hadi Kufikia Dola Bilioni 3.55

Sekta ya Uchukuzi Yachangia Dola za Marekani Bilioni 2.48

Sekta ya Uchukuzi Yachangia Dola za Marekani Bilioni 2.48

Mauzo Katika Soko la Jumuiya EAC Yameongezeka Hadi Kufikia Dola za Marekani Milioni 1,163.8

Mauzo Katika Soko la Jumuiya EAC Yameongezeka Hadi Kufikia Dola za Marekani Milioni 1,163.8

BEI YA MADINI YA DHAHABU IMEPANDA HADI DOLA ZA MAREKANI 2,655.80

BEI YA MADINI YA DHAHABU IMEPANDA HADI DOLA ZA MAREKANI 2,655.80