ALLY KAMWE mikononi mwa Polisi, yataja chanzo | The Dodoma Post
The Dodoma Post Michezo

ALLY KAMWE mikononi mwa Polisi, yataja chanzo

Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe.

The Dododma Post
By The Dododma Post
03 Apr 2025
ALLY KAMWE mikononi mwa Polisi, yataja chanzo

Akizungumza na waandishi wa Habari leo Alhamisi Aprili 3,2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amethibitisha jeshi hilo kumshikilia Kamwe.

Abwao ametaja sababu za kumshikilia ofisa habari huyo kuwa ni kutokana na kauli zake chafu dhidi ya viongozi wa Serikali.

GRAND BUNGE  BONANZA KUFANYIKA  JUNI 21 2025 HUKU MGENI RASMI AKITARAJIWA KUWA RAIS SAMIA.

GRAND BUNGE BONANZA KUFANYIKA JUNI 21 2025 HUKU MGENI RASMI AKITARAJIWA KUWA RAIS SAMIA.

DODOMA YAELEKEA IRINGA KWA KISHINDO MASHINDANO YA UMISSETA.

DODOMA YAELEKEA IRINGA KWA KISHINDO MASHINDANO YA UMISSETA.

Mashindano ya Polisi Jamii  Kuimarisha mahusiano kati ya Polisi na Wananchi

Mashindano ya Polisi Jamii Kuimarisha mahusiano kati ya Polisi na Wananchi

Simba SC Yajivunia Kuendelea na Vita Baada ya Kudondosha Pointi Moroco

Simba SC Yajivunia Kuendelea na Vita Baada ya Kudondosha Pointi Moroco

Wazee wa Yanga Dodoma watoa msimamo wataka Karia aombe radhi

Wazee wa Yanga Dodoma watoa msimamo wataka Karia aombe radhi